Maeneo mbali mbali katika nchi ya tanzania yameendelea kukubwa na matukio makubwa ya mafuriko ndani ya siku hizi mbili.
Lakini hali ni mbaya zaidi katika jiji la Dar baada ya maeneo mengi kuonekana kuharibiwa vibaya na mafuriko, hata hivyo inatarajiwa hali itaendelea kuwa mbaya zaidi kama mvua hizi zitaendelea kunyesha.
No comments:
Post a Comment